Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 7:50 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

50 Lakini Yesu akamwambia tena yule mwanamuke: “Kwenda na amani, imani yako imekuokoa.”

Gade chapit la Kopi




Luka 7:50
15 Referans Kwoze  

Yesu akamwambia: “Binti yangu, imani yako imekuponyesha. Ujiendee na amani, ugonjwa wako umepona!”


Na Yesu akamwambia: “Binti yangu, imani yako imekuponyesha. Ujiendee na amani.”


Yesu akamwambia: “Upate kuona! Imani yako imekuponyesha.”


Naye Yesu alipogeuka, akamwona na kumwambia: “Binti yangu, ujipe moyo! Imani yako imekuponyesha.” Na mwanamuke yule akapona saa ile ile.


Yesu akamwambia: “Ujiendee, imani yako imekuponyesha.” Na pale pale akapata kuona, na kumufuata Yesu katika njia.


Andika: Uwaangalie wenye kiburi, hao wataangamia; lakini wenye haki wataishi kwa kumwamini Mungu.


kwa sababu alikuwa na mutoto mumoja binti wa pekee mwenye umri wa miaka yapata kumi na miwili, na aliyekuwa karibu kufa. Yesu alipokuwa akienda kule, kundi kubwa la watu walimusongasonga.


“Basi mufanye angalisho na jinsi munavyosikia maneno. Kwa maana mutu anayekuwa na kitu, ataongezewa kingine, lakini mutu asiyekuwa na kitu, atanyanganywa kile anachozania kuwa nacho.”


Kwenda ukule chakula chako kwa furaha, na ukunywe divai yako kwa moyo wenye kuchangamuka, maana Mungu amekwisha kukubali kazi yako.


Halafu Eli akamwambia: “Kwenda kwa amani; naye Mungu wa Israeli akupe kile ulichomwomba.”


Yesu aliposikia maneno haya, akashangaa sana na yule mukubwa, na kugeukia kundi la watu waliomufuata, na kusema: “Ninawaambia: katika inchi yote ya Israeli sijaona bado mutu anayekuwa na imani kubwa kama huyu.”


Kisha Yesu akamwambia mutu yule: “Simama, ujiendee. Imani yako imekuponyesha.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite