Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 7:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Halafu yule aliyekuwa maiti akaamuka, akaikaa na kuanza kusema. Na Yesu akamurudisha kwa mama yake.

Gade chapit la Kopi




Luka 7:15
6 Referans Kwoze  

Siku moja, wakati wa mazishi, watu waliona moja kati ya makundi yale. Wakatupa maiti katika kaburi la Elisha na kukimbia. Mara tu maiti hiyo ilipogusa mifupa ya Elisha, ilifufuka na kusimama wima.


Kisha akajongea, akagusa sanduku, nao watu waliokuwa wakilibeba wakasimama. Akasema: “Kijana, ninakuamuru, amuka!”


Watu wote wakashikwa na woga, nao wakamutukuza Mungu, wakisema: “Nabii mukubwa ametokea tena kwetu! Mungu amekuja kuwasaidia watu wake.”


Elisha akamwamuru alikamate naye akanyoosha mukono, akalikamata.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite