Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 6:46 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

46 “Sababu gani munaniita ‘Bwana, Bwana,’ nanyi hamufanyi yale ninayowaamuru?

Gade chapit la Kopi




Luka 6:46
9 Referans Kwoze  

Yawe wa majeshi anasema hivi: Mutoto anamuheshimu muzazi wake, na mutumishi anamuheshimu bwana wake. Ikiwa mimi ndiye Baba wenu, mbona munanivunjia heshima? Ikiwa mimi ni bwana wenu, mbona hamuniheshimu? Ninasema hivyo kwa ninyi makuhani munaozarau jina langu. Nanyi munauliza: Sisi tumezarau jina lako namna gani?


Musidanganyike: Mungu hachekelewi. Chochote mutu atakachopanda, ndicho atakachovuna.


Halafu nao watajibu: ‘Bwana, ni wakati gani tulipokuona ukisikia njaa, au kiu, au ukikuwa mugeni, au uchi, au mugonjwa, au mufungwa, nasi hatukukusaidia?’


Kisha yule mutumishi aliyepewa furushi moja akakuja, akasema: ‘Bwana, nilijua kuwa wewe ni mutu mugumu anayevuna nafasi asipopanda, na kukusanya nafasi asiposambaza.


“Nyuma, hao wengine wakafika, na kuanza kusema: ‘Bwana, bwana, utufungulie!’


Musijidanganye ninyi wenyewe kwa kusikiliza tu neno la Mungu, lakini mulitimize kwa matendo.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite