Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 6:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

34 Tena, muko na shukrani gani kama munawakopesha tu wale munaowatumainia kwamba watawarudishia? Hata wenye zambi wanawakopesha wenye zambi wenzao kusudi warudishiwe tena mali ile ile!

Gade chapit la Kopi




Luka 6:34
5 Referans Kwoze  

Mutu akikuomba kitu, umupe. Na mutu akitaka umukopeshe, usimugeuzie mugongo.


Lakini muwapende waadui zenu, muwatendee mema na muwakopeshe pasipo kutumainia kurudishiwa kitu. Halafu mutapewa zawadi kubwa na mutakuwa kweli watoto wa Mungu Mukubwa kwa sababu yeye ni mwema kwa watu waovu wasiokuwa na shukrani.


Muko na shukrani gani kama munawatendea mema tu wale wanaowatendea mema? Hata wenye zambi wanafanya hivi vilevile.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite