Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 6:31 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

31 Muwatendee wengine sawasawa munavyotaka wawatendee ninyi vilevile.

Gade chapit la Kopi




Luka 6:31
5 Referans Kwoze  

“Basi jambo lolote munalotaka wengine wawatendee, ninyi mulitende kwao vilevile, kwa maana kile ndicho kifungo cha Sheria ya Musa na mafundisho ya manabii.


Kwa maana Sheria yote inafungwa katika amri hii moja: “Umupende mwenzako kama unavyojipenda mwenyewe.”


Na ya pili inayofanana nayo ni hii: ‘Umupende mwenzako kama vile unavyojipenda mwenyewe.’


Mutu akikuomba kitu umupe nacho, na anayekunyanganya vitu vyako, usiombe akurudishie.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite