Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 6:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Watu hao walikuja kumusikiliza na kuponyeshwa magonjwa yao. Na wale walioteswa na pepo waliponyeshwa.

Gade chapit la Kopi




Luka 6:18
5 Referans Kwoze  

Watu wengi vilevile kutoka miji inayokuwa pembeni ya Yerusalema walikusanyika, wakiwaleta wagonjwa na watu wanaoteswa na pepo, na wote wakaponyeshwa.


na kusema: “Bwana, ninakuomba umusikilie mwana wangu huruma kwa maana anateswa sana na ugonjwa wa kifafa. Mara nyingi anaanguka katika moto na ndani ya maji.


Mwanamuke mumoja Mukanana aliyeishi katika pande zile akamufikia, akilalamika, akisema: “Ee Bwana, mwana wa Daudi, unihurumie! Binti yangu anateswa sana na pepo.”


Yesu akashuka toka kilima pamoja na wanafunzi wake, na kusimama kwenye uwanja. Pale kulikuwa wanafunzi wake pamoja na kundi kubwa sana la watu waliotoka Yerusalema, katika Yudea yote na pande za miji Tiro na Sidona pembeni ya bahari.


Watu wote walitaka kumugusa, kwa sababu uwezo ulikuwa ukitoka ndani yake na kuwaponyesha wote.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite