Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 6:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Yesu akawaangalia wote waliokuwa pale, kisha akamwambia yule mutu: “Nyoosha mukono wako.” Naye akafanya vile, na mukono wake ukakuwa muzima tena.

Gade chapit la Kopi




Luka 6:10
7 Referans Kwoze  

Yesu akawakazia macho kwa kasirani, akihuzunika kwa sababu ya ugumu wao. Akamwambia yule mutu: “Nyoosha mukono wako.” Akaunyoosha, nao ukakuwa muzima tena.


Yesu akamwambia: “Simama, utwae kipoyi chako na uende.”


Kwa neno lake aliwaponyesha, akawaokoa wasiangamie.


Basi, mufalme Yeroboamu akamwambia nabii: “Tafazali, umusihi Yawe, Mungu wako, uniombee mukono wangu upate kupona.” Naye nabii akamwomba Yawe, na mukono wa mufalme ukapona, ukarudia kwa hali yake ya zamani.


Kisha Yesu akawaambia: “Ninawauliza: Sheria inaturuhusu kufanya mema au mabaya kwa siku ya Sabato? Kuponyesha mutu au kumwua?”


Lakini wale wakubwa wakakasirika sana, wakaanza kusemezana wao kwa wao juu ya namna watakavyomutendea Yesu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite