Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 6:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Siku moja ya Sabato, Yesu akapita katika mashamba ya ngano, wanafunzi wake wakaanza kuchumachuma masuke ya ngano, wakayasiritasirita katika mikono yao na kuyakula.

Gade chapit la Kopi




Luka 6:1
10 Referans Kwoze  

“Ukipitia katika shamba la muzabibu la mwenzako unaweza kula zabibu kadiri unavyoweza, lakini usichume na kupeleka zabibu zozote katika kikapu chako.


Katika siku ya kwanza mutakuwa na mukutano mutakatifu. Siku hiyo musifanye kazi.


Yawe akaendelea kusema: “Kwa muda wa siku saba, mutakula mikate isiyotiwa chachu. Siku ya kwanza ya siku hizo saba, mutaondoa chachu katika nyumba zenu. Mutu yeyote akikula kitu kilichotiwa chachu katika muda ule wa siku saba, anapaswa kuondolewa kati ya Waisraeli.


“Mutahesabu majuma saba; mutaanza kuyahesabu tangu munapoanza kuvuna ngano.


Mutahesabu majuma saba kamili tangu siku ile inayofuata Sabato ile ambapo mutaleta muganda wa sadaka ya kunitolea kwa kitambulisho mimi Yawe.


Hakuna mutu aliyekwisha kunywa divai ya zamani atakayetaka tena divai mupya. Kwa maana anasema kwamba ile ya zamani ni nzuri zaidi.”


Siku ingine moja ya Sabato, Yesu akaingia katika nyumba ya kuabudia na kuanza kufundisha. Na mule ndani mulikuwa mutu mumoja mwenye kukauka mukono wa kuume.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite