Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 5:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Yesu akaingia ndani ya moja kati ya vile vyombo, nacho kilikuwa cha Simoni. Yesu akamwomba akisukume mbali kidogo na kivuko. Halafu akaikaa mule na kuwafundisha watu.

Gade chapit la Kopi




Luka 5:3
8 Referans Kwoze  

Yesu alipokuwa akitembea pembeni ya ziwa la Galilaya, akawaona wavuvi wawili, waliokuwa wandugu wa tumbo, Simoni (aliyeitwa Petro) na ndugu yake Andrea. Walikuwa wakitupa nyavu katika ziwa.


Na kesho yake asubui mapema akarudi tena katika hekalu. Watu wote wakamufikia, naye alipoikaa, akaanza kuwafundisha.


Na kwa kuona uwingi wa watu wale, Yesu akawaambia wanafunzi wake wamutayarishie chombo kidogo kusudi wasimusonge.


Watu waliokuwa na magonjwa walikuwa wakisukumana kusudi wamufikie na kumugusa kwa maana aliwaponyesha watu wengi.


Akaona vyombo viwili vyenye kuezeka pembeni ya ziwa, na wavuvi walikuwa wametoka ndani yao, na walikuwa wakisafisha nyavu zao.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite