Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 4:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Yesu akamujibu: “Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: ‘Mutu hawezi kuishi kwa mukate tu.’ ”

Gade chapit la Kopi




Luka 4:4
13 Referans Kwoze  

Aliwazarau akawaacha muone njaa na kisha akawapa mana mukule, chakula ambacho hamukukijua, wala babu zenu hawajapata kukijua. Alifanya hivyo kusudi apate kuwafundisha kwamba mwanadamu haishi kwa mukate tu, lakini kwa kila neno Yawe analosema.


Yesu akamujibu: “Imeandikwa hivi katika Maandiko Matakatifu: ‘Mutu hawezi kuishi kwa mukate tu, lakini kwa njia ya kushika kila neno Mungu analosema.’ ”


Mupokee wokovu kama vile kofia ya chuma ya kuwalinda, na Neno la Mungu kama upanga munaopewa na Roho.


“Basi musijisumbue kwa ajili ya chakula, kwa ajili ya kinywaji au kwa ajili ya nguo.


Mutanitumikia mimi Yawe, Mungu wenu, nami nitawabariki kwa chakula na maji na kuondoa magonjwa kati yenu.


kwa maana inaandikwa katika Maandiko Matakatifu: ‘Mungu atawaamuru wamalaika wake wakulinde.


Lakini Yesu akamujibu: “Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: ‘Umwabudu Bwana Mungu wako na umutumikie yeye peke yake.’ ”


Halafu Yesu akawauliza wanafunzi wake: “Nilipowatuma pasipo kubeba feza, wala mufuko, wala viatu, mulikosewa na kitu gani?” Wakamujibu: “Hakuna.”


Muniachie watoto wenu wayatima nami nitawatunza; muwaache wajane wenu wanitegemee.


Hakika anayesema hivyo hajapata kuona mwangaza. Lakini ninyi mushike lile agizo na mafundisho ya Mungu.


Halafu Shetani akamufikia na kumwambia: “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, amuru jiwe hili ligeuke mukate.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite