Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 4:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Naye akaongeza kusema: “Kweli ninawaambia: hakuna nabii anayekubaliwa katika muji wake.

Gade chapit la Kopi




Luka 4:24
6 Referans Kwoze  

Na kwa hiyo akakuwa kikwazo kwao. Lakini Yesu akawaambia: “Nabii hakosewi heshima fasi zote, isipokuwa tu katika muji wake na katika jamaa yake.”


Yesu mwenyewe alikuwa ameshuhudia kwamba nabii haheshimiwi katika inchi yake mwenyewe,


“Mimi ni Muyuda, nimezaliwa Tarso, katika jimbo la Kilikia, lakini nililelewa katika muji huu wa Yerusalema. Mimi nilikuwa mwanafunzi wa Gamalieli, na alinifundisha namna ya kufuata kabisa Sheria ya babu zetu. Nikajitolea kabisa kwa kutumikia Mungu kama vile ninyi wote munavyofanya leo.


Wengine wengi zaidi waliamini kwa sababu ya maneno yake mwenyewe,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite