Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 4:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Kisha akafunga kile kitabu, akakipatia mutumishi wa nyumba ya kuabudia na kuikaa. Na watu wote waliokuwa ndani ya ile nyumba ya kuabudia wakamukazia macho.

Gade chapit la Kopi




Luka 4:20
13 Referans Kwoze  

wakamupa kitabu cha nabii Isaya. Halafu akakifungua na kupata nafasi inayoandikwa:


Na kesho yake asubui mapema akarudi tena katika hekalu. Watu wote wakamufikia, naye alipoikaa, akaanza kuwafundisha.


Lakini hawakupata namna ya kumwua, kwa sababu watu wote walimusikiliza kwa uangalifu.


Yesu akaingia ndani ya moja kati ya vile vyombo, nacho kilikuwa cha Simoni. Yesu akamwomba akisukume mbali kidogo na kivuko. Halafu akaikaa mule na kuwafundisha watu.


Kisha Yesu akawaambia watu wale: “Mumekuja na panga na magongo kwa kunikamata kama watu wanavyokwenda kumukamata munyanganyi? Siku zote niliikaa ndani ya hekalu, nikifundisha, nanyi hamukunikamata.


Siku ya Sabato ilipotimia tukatoka ndani ya muji ule na kwenda karibu na muto mumoja, kwenye nafasi tulipozania kuwa ya kufanyia maombi. Tukaikaa na kusemezana na wanawake waliokusanyika pale.


Petro alipoona maneno yale, akawaambia watu: “Wanainchi wenzangu Waisraeli, sababu gani munashangazwa na jambo hili? Sababu gani munatukazia macho? Munafikiri kwamba mutu huyu amepata kutembea kutokana na uwezo wetu sisi wenyewe au kwa haki yetu mbele ya Mungu?


Akaiweka ndani ya kaburi lake jipya alilojichimbia katika jiwe. Kisha akasukumia jiwe kubwa kwenye kiingilio cha lile kaburi na kujiendea.


Halafu akaanza kuwaambia: “Maandiko haya yametimia leo.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite