14 Yesu akarudia Galilaya akijazwa na uwezo wa Roho, na habari zake zikaenea fasi zote katika pande zile.
Ninyi munajua mambo yaliyotokea katika Yudea yote, yakianzia katika jimbo la Galilaya nyuma ya mahubiri ya Yoane yaliyoelekea ubatizo.
Yesu aliposikia kwamba Yoane ametiwa katika kifungo, akaenda zake Galilaya.
Siku mbili zilipopita, Yesu akaondoka kule, akaenda Galilaya.
Na habari za Yesu zikaenea katika jimbo lile lote.
Halafu sifa za Yesu zikaenea upesi katika jimbo lote la Galilaya.
Nyuma ya kutiwa kwa Yoane katika kifungo, Yesu alikwenda Galilaya, akahubiri Habari Njema inayotoka kwa Mungu.
Habari za jambo hili zikaenea katika inchi ile yote.
Lakini wakaenda na kuanza kutangaza habari za Yesu katika inchi ile yote.
Shetani alipokwisha kumujaribu Yesu namna zote, akamwacha kwa muda.