12 Lakini Yesu akamujibu: “Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: ‘Usimujaribu Bwana Mungu wako.’ ”
“Musimujaribu Yawe, Mungu wenu, kama vile mulivyomujaribu huko Masa.
Vilevile tusimupime Bwana kama vile wamoja wao walivyofanya, hata wakauawa na nyoka.
Yesu akamujibu: “Imeandikwa hivi vilevile: ‘Usimujaribu Bwana Mungu wako.’ ”
Tunayoona sisi, ni kwamba wenye kiburi ndio wenye furaha siku zote. Watu waovu, ingawa wanastawi, hata wanapomujaribu Mungu, hawapati azabu.
babu zenu waliponijaribu na kunipima, ingawa walikuwa wameona mambo niliyowatendea.
Walipatwa na tamaa kubwa kule katika jangwa, wakamupima Mungu kule kwenye ukiwa.
Shetani alipokwisha kumujaribu Yesu namna zote, akamwacha kwa muda.