11 Watakubeba katika mikono yao, kusudi muguu wako usijikwae juu ya jiwe.’ ”
Watakuchukua katika mikono yao, kusudi usijikwae kwenye jiwe.
Maana Mungu atawaamuru wamalaika wake, wakulinde popote unapoenda.
“Kama wewe ni Mwana wa Mungu, ujitupe chini; kwa maana imeandikwa: ‘Mungu atawaamuru wamalaika wake na watakubeba katika mikono yao, kusudi muguu wako usijikwae juu ya jiwe.’ ”