Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 4:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 kwa maana inaandikwa katika Maandiko Matakatifu: ‘Mungu atawaamuru wamalaika wake wakulinde.

Gade chapit la Kopi




Luka 4:10
6 Referans Kwoze  

Malaika ni nini, basi? Wao wote ni roho wanaomutumikia Mungu na wanaotumwa naye kwa ajili ya faida ya wale wanaopaswa kuokolewa.


Halafu Shetani akamufikia na kumwambia: “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, amuru jiwe hili ligeuke mukate.”


Na jambo hilo si la kushangaza kwa maana Shetani mwenyewe anajisingizia kuwa malaika wa mwangaza.


Lakini Yesu akamujibu: “Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: ‘Umwabudu Bwana Mungu wako na umutumikie yeye peke yake.’ ”


Watakubeba katika mikono yao, kusudi muguu wako usijikwae juu ya jiwe.’ ”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite