Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 3:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Lakini Herode akaongeza ubaya mwingine kwa kumutia Yoane ndani ya kifungo.

Gade chapit la Kopi




Luka 3:20
14 Referans Kwoze  

Watu hawa walimwanga damu ya watu wako na ya manabii wako, kwa sababu hiyo sasa umewakunywesha damu, nao wanastahili kutendewa vile!”


(Wakati ule Yoane alikuwa hajawekwa katika kifungo.)


Niliwaazibu ninyi lakini ilikuwa bure, ninyi munakataa maonyo. Muliwateketeza manabii wenu kwa upanga kama simba mwenye uchu.


Lakini hawakukuwa waaminifu kwako. Wakakuasi, wakaacha sheria yako na kuwaua manabii waliowaonya kusudi wakurudilie wewe. Wakatenda zambi kubwa mbele yako.


Lakini wao waliendelea kuwachekelea wajumbe wa Mungu, wakayazarau maneno yake na kuwachekelea manabii wake mpaka kwa mwisho kasirani ya Yawe ikawaka juu ya watu wake hata hakukukuwa wa kuwaponyesha.


na kwa sababu ya damu isiyokuwa na kosa aliyoimwanga. Yawe hakumusamehe makosa hayo.


Zaidi ya mambo hayo, Manase aliwaangusha watu wa Yuda katika zambi kwa kutenda maovu mbele ya Yawe. Aliwaua watu wengi wasiokuwa na kosa, damu ikajaa toka upande mumoja mpaka upande mwingine wa Yerusalema.


Yesu aliposikia kwamba Yoane ametiwa katika kifungo, akaenda zake Galilaya.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite