Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 3:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Nao waaskari wakamwuliza: “Na sisi, tufanye nini?” Naye akawajibu: “Musifanye ukorofi kwa mutu yeyote wala kumusingizia mutu, lakini mutoshelewe na mishahara yenu.”

Gade chapit la Kopi




Luka 3:14
15 Referans Kwoze  

Usimushuhudie mwenzako uongo.


Na sisemi hivi kwa sababu ninakosewa na kitu, kwa maana ninajizoeza kufurahi na kile ninachokuwa nacho.


Musiibe, musidanganye wala kuambiana uongo.


Usitoe habari za uongo. Usishirikiane na mutu mwovu kwa kuwa mushuhuda mubaya.


Lakini Zakayo akasimama mbele ya Bwana na kumwambia: “Bwana! Ninawapa masikini nusu ya mali zangu, na kama nimetwaa kitu cha mutu kwa kumudanganya, nitamurudishia mara ine sawa na kitu kile.”


Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka mbinguni, ikisema: “Sasa wokovu, uwezo na ufalme wa Mungu, na mamlaka ya Kristo wake vimefika. Ni vile, kwa yule aliyekuwa akiwashitaki wandugu zetu mbele ya Mungu wetu muchana na usiku ametupwa chini ya mbingu.


Vilevile uwaambie wanawake wazee wakuwe na mwenendo unaostahili kwa watu watakatifu. Hawapaswi kuwa wasingiziaji, wala wasikuwe watumwa wa pombe, lakini wakuwe wenye kutoa mafundisho mazuri.


kusudi mupate kuwa bila kosa na kuwa na maisha safi. Hivi mutakuwa watoto wakamilifu wa Mungu wasiokuwa na kilema kati ya watu waovu na wapotovu wa dunia hii. Munapaswa kuangaza kati ya watu hawa kama vile nyota zinavyoangaza katika mbingu,


Yule malaika aliyesema na Kornelio alipoondoka, akawaita watu wawili kati ya watumishi wake na askari mumoja mwenye kuogopa Mungu, aliyekuwa mumoja wa wasimamizi wake wa kipekee.


Yesu alipokuwa akiingia katika muji Kapernaumu, mukubwa mumoja wa waaskari akamufikia na kumusihi,


Halafu watu wale wakamwuliza: “Basi tufanye nini?”


Naye akawajibu: “Musilipishe zaidi kuliko vile inavyoamuriwa.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite