Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 3:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Halafu watu wale wakamwuliza: “Basi tufanye nini?”

Gade chapit la Kopi




Luka 3:10
7 Referans Kwoze  

Nao watu waliposikia maneno hayo, wakachomwa katika mioyo yao na kuwaambia Petro na mitume wengine: “Wandugu zetu, tufanye nini?”


Nao waaskari wakamwuliza: “Na sisi, tufanye nini?” Naye akawajibu: “Musifanye ukorofi kwa mutu yeyote wala kumusingizia mutu, lakini mutoshelewe na mishahara yenu.”


Kisha akawapeleka inje na kuwauliza: “Wabwana wangu, inanipasa kufanya nini kusudi nipate kuokolewa!”


Basi muonyeshe kwa njia ya matendo kwamba mumegeuka toka zambi zenu. Musianze tu kujisemesha kwamba Abrahamu ndiye babu yenu. Ninawaambia kwamba Mungu anaweza kugeuza mawe haya kuwa watoto wa Abrahamu!


Lakini simama, uingie katika muji, na mule watakuambia jambo unalopaswa kufanya.”


Walipishaji wa kodi nao wakamufikia vilevile kusudi wabatizwe. Wakamwuliza: “Mwalimu, tufanye nini?”


Petro akawajibu: “Mugeuke toka katika zambi zenu, na kila mumoja wenu abatizwe kwa jina la Yesu Kristo, na Mungu atawasamehe zambi zenu. Hivi mutapokea zawadi ya Roho Mutakatifu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite