Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 24:52 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

52 Nao walipokwisha kumwabudu, wakarudia Yerusalema wakifurahi sana.

Gade chapit la Kopi




Luka 24:52
11 Referans Kwoze  

Mara moja Yesu akakutana na wale wanawake, akawasalimia. Wakajongea karibu naye, wakamushika miguu na kumwabudu.


Na sasa ninyi vilevile munasikia uchungu, lakini nitawaona tena, nanyi mutafurahi, wala hakuna mutu atakayeweza kuwahuzunisha tena.


Usikie, ee Yawe, unihurumie; ee Yawe, unisaidie!”


Ninyi munamupenda ijapokuwa hamujamwona, na munamwamini ijapokuwa sasa hamumwoni. Na zaidi ya ile munashangilia kwa furaha isiyoweza kuelezwa, inayojaa utukufu,


Toma akamujibu: “Bwana wangu na Mungu wangu!”


Mumesikia jinsi nilivyowaambia kwamba ninajiendea, lakini nitawarudilia tena. Kama mungenipenda, mungefurahia kujua kwamba ninakwenda kwa Baba, kwa maana Baba ni mukubwa kuliko mimi.


Wakati walipomwona, wakamwabudu, lakini wamoja kati yao wakaona shaka.


Lakini mimi ninawaambia ukweli: ni faida kwenu mimi niende, kwa maana nisipokwenda, Musaidizi hatakuja kwenu. Lakini nikienda, nitamutuma kwenu.


Alipokuwa akiwabariki akajitenga nao na kunyanyuliwa mbinguni.


Na siku zote walikuwa ndani ya hekalu wakimusifu Mungu.


Kisha mitume wakarudi Yerusalema tokea kwenye mulima wa Mizeituni unaokuwa karibu na muji huo kwenye umbali wa yapata kilometre moja.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite