Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 24:48 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

48 Na ninyi ndio mutakaotoa ushuhuda juu ya maneno haya.

Gade chapit la Kopi




Luka 24:48
14 Referans Kwoze  

Na kwa siku nyingi akaonekana kwa waliosafiri pamoja naye toka Galilaya kwenda Yerusalema. Na wale ndio sasa wanaomushuhudia mbele ya watu.


Na sisi ni washuhuda wa mambo hayo, naye Roho Mutakatifu ambaye Mungu aliwapa wale wanaomutii, anayashuhudia vilevile.”


“Mungu alimufufua huyo Yesu, na sisi wote tuko washuhuda wa jambo hili.


Lakini mutapokea uwezo wakati Roho Mutakatifu atakaposhuka juu yenu. Nanyi mutakuwa washuhuda wangu katika Yerusalema, katika Yudea yote na Samaria na hata katika inchi zote za dunia.”


Hakuonekana kwa watu wote, lakini kwa sisi tuliochaguliwa na Mungu kuwa washuhuda. Ni sisi tuliokula na kunywa pamoja naye nyuma ya kufufuka kwake.


Na sisi tuko washuhuda wa mambo yote Yesu aliyofanya katika inchi ya Wayuda na katika muji wa Yerusalema. Walimwua kwa kumutundika juu ya musalaba,


Halafu mukamwua yule anayekuwa asili ya uzima, lakini Mungu amemufufua. Na sisi ni washuhuda wa jambo hilo.


Ninawaonya wazee wa kanisa wanaokuwa kati yenu. Mimi vilevile ni muzee mwenzenu, nami ni mushuhuda wa mateso ya Kristo na zaidi ya hii nitashiriki katika utukufu ule utakaotokea.


Nao mitume walishuhudia ufufuko wa Bwana Yesu kwa uwezo mukubwa, na Mungu akawabariki wote sana.


Na ninyi vilevile mutanishuhudia, kwa sababu mumekuwa pamoja nami tangu mwanzo.


Kwa maana utatoa ushuhuda wake kwa watu wote, utasema juu ya mambo yale uliyoona na kuyasikia.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite