34 Hao waliokusanyika wakawaambia: “Hakika Bwana amefufuka, na amemutokea Simoni!”
Alimutokea Petro, na kisha akawatokea mitume wake kumi na wawili.
Muende sasa kupasha habari kwa wanafunzi wake na kwa Petro, muwaambie kwamba anawatangulia Galilaya; nao watamwona kule sawa vile alivyowaambia.”
Bwana alipomwona yule mama, akamusikilia huruma na kumwambia: “Usilie.”
na kuwatuma kwa Bwana kumwuliza: “Wewe ndiwe yule aliyepaswa kuja kutuokoa au tumungojee mwingine?”
Yeye hayuko hapa; amefufuka! Mukumbuke jinsi alivyowaambia wakati alipokuwa angali Galilaya.
Nyuma ya kufa kwake, alijionyesha kwao kwa namna nyingi kwa kuhakikisha kwamba amefufuka. Kwa muda wa siku makumi ine, alionekana kwao na kusema nao juu ya maneno yanayoelekea Ufalme wa Mungu.