31 Halafu, macho yao yakafumbuliwa, wakamutambua. Lakini yeye akatoweka, nao hawakumwona tena.
lakini macho yao yalizuizwa kumutambua.
Kwa ajili ya hii, wakaokota mawe kwa kumutupia. Lakini Yesu akajificha na kutoka ndani ya hekalu.
Lakini yeye akapita katikati yao, na kujiendea.
Na watu wa kule walipomutambua Yesu, wakatuma habari katika sehemu zile zote. Halafu wakamuletea wagonjwa wote