Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 24:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Lakini walipoingia ndani ya kaburi hawakuona maiti ya Bwana Yesu.

Gade chapit la Kopi




Luka 24:3
6 Referans Kwoze  

lakini hawakuona maiti yake. Basi wakarudia kutuelezea kwamba wamalaika waliwatokea na kuwaambia kwamba yeye ni muzima.


Wakati wanafunzi walipovuka ziwa kwenda ngambo ingine, walikuwa wamesahau kupeleka mikate.


Bwana alipomwona yule mama, akamusikilia huruma na kumwambia: “Usilie.”


Walipofika, wakakuta jiwe kubwa limekwisha kusukumwa pembeni ya kiingilio cha kaburi.


“Basi kwa hiyo, ni lazima mutu mumoja ajiunge pamoja nasi kuwa mushuhuda wa ufufuko wa Bwana Yesu. Mutu yule anapaswa kuwa mumoja kati ya wale waliokuwa wakitusindikiza kwa wakati wote Bwana Yesu alipokuwa pamoja nasi; tangia wakati Yoane alipomubatiza mpaka siku ile Yesu aliponyanyuliwa toka katikati yetu kwenda mbinguni.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite