Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 24:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Halafu wamoja kati yetu walienda kwenye kaburi, nao wakakuta mambo yote ni sawa na vile wale wanawake walivyosema, lakini hawakumwona.”

Gade chapit la Kopi




Luka 24:24
5 Referans Kwoze  

Lakini Petro alisimama, akaenda mbio mpaka kwenye kaburi. Alipoinama kuchungulia ndani yake, akaona tu vile vitambaa. Kisha akarudia kwake, akishangaa kwa ajili ya mambo yaliyotokea.


Basi Herode akawaita kwa siri wale wenye elimu kusudi wamujulishe hakika wakati gani nyota ile ilipotokea.


lakini hawakuona maiti yake. Basi wakarudia kutuelezea kwamba wamalaika waliwatokea na kuwaambia kwamba yeye ni muzima.


Basi Yesu akawaambia: “Enyi wajinga na wenye mioyo mizito kwa kuamini maneno yote manabii waliyosema!


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite