23 lakini hawakuona maiti yake. Basi wakarudia kutuelezea kwamba wamalaika waliwatokea na kuwaambia kwamba yeye ni muzima.
Zaidi ya hiyo wanawake wamoja wa kundi letu walitushitusha. Walienda kwenye kaburi asubui mapema,
Halafu wamoja kati yetu walienda kwenye kaburi, nao wakakuta mambo yote ni sawa na vile wale wanawake walivyosema, lakini hawakumwona.”
Basi Maria wa Magdala akaenda kuwapasha wanafunzi habari kama amemwona Bwana, na kwamba amemwambia maneno hayo.
Yeye hayuko hapa: amefufuka sawa alivyosema. Mukuje, muone pahali walipolalisha maiti yake.
Na waliposikia jinsi Maria alivyowaambia kwamba Yesu ni muzima, na kwamba amemwona, hawakumusadikia.
Lakini walipoingia ndani ya kaburi hawakuona maiti ya Bwana Yesu.