Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 24:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Walipofika, wakakuta jiwe kubwa limekwisha kusukumwa pembeni ya kiingilio cha kaburi.

Gade chapit la Kopi




Luka 24:2
9 Referans Kwoze  

Kwa rafla kukatokea tetemeko la inchi, kwa maana malaika wa Bwana alishuka toka mbinguni, akasukuma lile jiwe lililofunga kaburi pembeni na kuikaa juu yake.


Siku ya kwanza ya juma, asubui mapema, wale wanawake wakaenda kwenye kaburi, nao walibeba yale mafuta waliyotengeneza.


Lakini walipoingia ndani ya kaburi hawakuona maiti ya Bwana Yesu.


Basi Yesu akasisimua tena kwa huzuni, na kwenda kwenye kaburi. Kaburi lile lilikuwa pango lililofungwa na jiwe kubwa.


Basi wakaondosha lile jiwe. Yesu akainua macho juu, akasema: “Baba, ninakushukuru kwa sababu umenisikia.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite