15 Walipokuwa wakiongea na kuulizana, Yesu mwenyewe akafika karibu nao, akaendelea kutembea pamoja nao,
Kwa maana pahali popote watu wawili au watatu wanapokusanyika kwa ajili ya jina langu, mimi ni pale katikati yao.”
Walipokuwa hawajamaliza kuwaelezea mambo hayo, mara moja Yesu mwenyewe akasimama katikati yao, na kuwaambia: “Amani kwenu!”
Wanafunzi wakaanza kusemezana hivi wao kwa wao: “Anasema hivi kwa sababu hatuna mikate.”
Walikuwa wakiongea juu ya mambo yote yaliyotokea.
lakini macho yao yalizuizwa kumutambua.