Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 24:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Lakini mitume hawakusadiki maneno ya wale wanawake, waliwaza kwamba ni ya bure.

Gade chapit la Kopi




Luka 24:11
10 Referans Kwoze  

Na waliposikia jinsi Maria alivyowaambia kwamba Yesu ni muzima, na kwamba amemwona, hawakumusadikia.


Basi Yesu akawaambia: “Enyi wajinga na wenye mioyo mizito kwa kuamini maneno yote manabii waliyosema!


Wimbo wa safari za kidini. Yawe alipoturudisha tena Sayuni, tulikuwa kama watu wanaoota ndoto!


Hata kama ningemwita naye akijibu, nisingeweza kuamini kwamba ananisikiliza.


Basi, Loti akawaendea wachumba wa wabinti zake, akawaambia: “Haraka! Mutoke pahali hapa, maana Yawe atauangamiza muji huu.” Lakini wao wakamwona kama mutu mwenye kuchekesha tu.


Petro akamufuata mpaka inje ya kifungo. Lakini hakutambua kwamba mambo yale malaika aliyofanya yalikuwa ya kweli; alizani kwamba amepata maono.


Jemedari mulinzi wa mufalme akamwambia Elisha: “Hata kama Yawe mwenyewe angefanya madirisha mbinguni, jambo hilo litawezekana?” Elisha akamujibu: “Utaona kwa macho yako mwenyewe, lakini wewe hautakula.”


Nao wakarudi na kuwapasha wanafunzi wengine habari ile, lakini wao vilevile hawakusadikia.


Kwa mwisho Yesu akawatokea wanafunzi kumi na mumoja walipokuwa wakikula. Naye akawakaripia kwa sababu ya kutokuamini kwao na kwa sababu ya ugumu wao. Kwa maana hawakusadikia wale waliomwona nyuma ya kufufuka kwake.


Nao walipokuwa hawajasadiki bado kwa sababu ya furaha na mushangao, akawauliza: “Muko na chakula chochote hapa?”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite