Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 23:54 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

54 Siku ile ilikuwa ya matayarisho ya siku ya Sabato iliyokuwa karibu kuanza.

Gade chapit la Kopi




Luka 23:54
6 Referans Kwoze  

Kesho yake, maana yake siku iliyofuata ile ya matayarisho ya siku ya Sabato, wakubwa wa makuhani na Wafarisayo wakamwendea Pilato,


Siku ile ilikuwa ya matayarisho ya siku ya Sabato iliyofuata. Kwa sababu hii Wayuda hawakutaka maiti za wale waliotundikwa zibaki juu ya misalaba kwa maana siku ile ilikuwa kubwa sana. Kwa hiyo wakamwomba Pilato ruhusa kwamba miguu ya wale waliotundikwa ivunjwe kusudi wakufe mbio na maiti zao ziondoshwe.


Ilipokwisha kuwa magaribi, Yosefu wa Arimatea, akafika kwa Pilato. (Yosefu alikuwa mutu mwenye heshima katika Baraza Kubwa, na vilevile alikuwa akitazamia kuja kwa Ufalme wa Mungu). Siku ile ilikuwa ya matayarisho ya siku ya Sabato iliyofuata. Kwa hiyo Yosefu akaenda bila woga kwa Pilato kwa kumwomba maiti ya Yesu.


Na kwa kuona siku ile ilikuwa ya matayarisho ya siku ya Sabato ya Wayuda na kaburi lilikuwa karibu, wakamuzika Yesu mule.


Siku ile ilikuwa siku ya matayarisho ya Pasaka, karibu na saa sita. Pilato akawaambia Wayuda: “Mufalme wenu huyu!”


Alipokwisha kuishusha toka juu ya musalaba, akaifungafunga na vitambaa na kuiweka ndani ya kaburi lililochimbwa katika jiwe. (Ndani ya kaburi lile mulikuwa bado hamujazikwa mutu.)


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite