Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 23:53 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

53 Alipokwisha kuishusha toka juu ya musalaba, akaifungafunga na vitambaa na kuiweka ndani ya kaburi lililochimbwa katika jiwe. (Ndani ya kaburi lile mulikuwa bado hamujazikwa mutu.)

Gade chapit la Kopi




Luka 23:53
7 Referans Kwoze  

Yosefu akanunua vitambaa, akaondoa maiti ya Yesu juu ya musalaba, akaifungafunga na vile vitambaa na kuiweka ndani ya kaburi lililochimbwa ndani ya jiwe. Kisha wakasukumia jiwe kwenye kiingilio cha lile kaburi.


Walimuzika pamoja na waovu; katika kifo aliwekwa pamoja na watajiri, ingawa hakutesa watu hata kidogo, wala hakusema neno lolote la udanganyifu.


Yosefu alienda kwa Pilato kwa kumwomba maiti ya Yesu.


Siku ile ilikuwa ya matayarisho ya siku ya Sabato iliyokuwa karibu kuanza.


Kulikuwa bustani pale walipomutundika Yesu, na katika bustani ile kulikuwa kaburi jipya, mulimokuwa hamujazikwa mutu.


Na wakati walipokwisha kutimiza yote yaliyoandikwa juu yake, wakamushusha toka juu ya musalaba na kumuzika.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite