Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 23:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 Wakati ule watu wataanza kuiambia milima ‘Mutuangukie’, navyo vilima ‘Mutufunike!’

Gade chapit la Kopi




Luka 23:30
6 Referans Kwoze  

Nao wakaiambia milima na mawe: “Mutuangukie na kutufunika mbali na yule anayeikaa juu ya kiti cha kifalme na mbali na kasirani ya Mwana-Kondoo.


Pahali pa kutambikia juu ya vilima pa Aweni, pahali Waisraeli walipofanyia zambi, pataharibiwa. Miiba na michongoma vitaota katika mazabahu zao. Nao wataiambia milima: Mutufunike na vilima: Mutuangukie!


Muingie katika mapango chini ya mawe, katika mashimo ndani ya udongo, kwa kuepuka kitisho cha Yawe, mbali na mwangaza wa utukufu wake, atakapokuja kuogopesha dunia.


Na kwa muda ule, watu watatafuta kifo, lakini hakitawapata. Watatamani kufa, lakini kifo kitawakimbia.


Siku hiyo, watu watawatupia panya na popo sanamu za feza na zahabu walizojitengenezea kusudi waziabudu.


Kwa maana wakifanya hivi kwangu mimi ninayekuwa kama muti mubichi, basi watafanya nini kwenu munaokuwa kama muti unaokauka?”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite