Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 23:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

27 Kundi kubwa la watu walimufuata. Kati yao kulikuwa wanawake waliokuwa wakijipigapiga kwenye kifua kwa huzuni na kumulilia.

Gade chapit la Kopi




Luka 23:27
9 Referans Kwoze  

Watu wote walikuwa wakilia na kusikitika sana kwa ajili ya kifo cha mutoto. Lakini Yesu akasema: “Musilie, kwa maana hakufi, lakini analala tu!”


pamoja na wanawake wamoja ambao alikuwa ameondosha pepo ndani yao na magonjwa mengine. Kati ya wale wanawake kulikuwa Maria (aliyeitwa wa Magdala), aliyekuwa ameponyeshwa pepo saba;


Kulikuwa wanawake wamoja walioangalia kwa mbali. Kati yao kulikuwa Maria wa Magdala, Maria mama ya kijana Yakobo na Yose na mwanamuke mwingine Salome.


Wale wanawake waliokuja na Yesu tangia Galilaya walimufuata Yosefu, wakaona kaburi na namna maiti ya Yesu ilivyowekwa mule.


Pale kulikuwa vilevile wanawake wengi walioangalia kwa mbali; ndio wale waliomufuata Yesu tokea Galilaya, wakimushugulikia.


Kundi la waovu limenizunguka; wananizunguka kama kundi la imbwa; wamenitoboa mikono na miguu.


‘Tuliwapigia ngoma, lakini hamukucheza! Tuliimba wimbo wa kilio, lakini hamukulia!’


Yesu akawageukia na kuwaambia: “Ninyi wanawake wa Yerusalema, musinililie mimi, lakini mujililie ninyi wenyewe pamoja na watoto wenu.


Kweli, kweli ninawaambia: mutalia na kusikitika, lakini watu wa dunia watafurahi. Mutahuzunika, lakini huzuni yenu itageuka kuwa furaha.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite