Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 23:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Lakini wakapiga tena kelele, wakisema: “Umutundike juu ya musalaba! Umutundike juu ya musalaba!”

Gade chapit la Kopi




Luka 23:21
7 Referans Kwoze  

Lakini wakapiga kelele wakisema: “Umwue! Umwue! Umutundike juu ya musalaba!” Pilato akawauliza: “Munataka nimutundike mufalme wenu juu ya musalaba?” Wakubwa wa makuhani wakajibu: “Sisi hatuna mufalme mwingine isipokuwa Mufalme wa Roma.”


Lakini wakaendelea kupiga kelele kubwa wakiomba Yesu atundikwe juu ya musalaba. Na kwa mwisho akashindwa kwa sababu ya makelele yao.


Wakapiga kelele tena wakisema: “Atundikwe juu ya musalaba!”


Kufuatana na vile Pilato alivyotaka kumufungua Yesu, yeye akasema tena na watu.


Pilato akawaambia kwa mara ya tatu: “Alifanya ubaya gani? Mimi sikumwona na hata kosa moja linalomustahili kuhukumiwa kufa. Nitaamuru apigwe fimbo, na kisha nitamufungua.”


Ijapokuwa hawakupata sababu ya kumuhukumu kufa, wakamwomba Pilato awape ruhusa ya kumwua.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite