Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 23:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 (Baraba alikuwa amefungwa kwa ajili ya fujo iliyofanyika katika muji na kwa ajili ya kuua watu.)

Gade chapit la Kopi




Luka 23:19
7 Referans Kwoze  

Yeye alikuwa Mutakatifu na Mwenye Haki, lakini mukamukana, mukataka Pilato awafungulie mwuaji.


Lakini wakazidi kusema kwa nguvu: “Kwa njia ya mafundisho yake anawashawishi watu kufanya uasi katika Yudea yote. Alianzia Galilaya na sasa amefika hapa.”


Wakaanza kumushitaki, wakisema: “Tulimukuta mutu huyu akiwashawishi watu wa taifa letu kufanya uasi. Yeye alikuwa akiwaambia kwamba wasilipe kodi kwa Mufalme wa Roma. Na zaidi ya hii anasema kwamba yeye ndiye Kristo, Mufalme aliyengojewa.”


Kulikuwa mufungwa mumoja, jina lake Baraba, aliyefungwa pamoja na waasi wamoja kwa sababu ya uuaji na uasi walioufanya.


Lakini wote pamoja wakapiga kelele wakisema: “Umwue mutu huyu na utufungulie Baraba!”


Kufuatana na vile Pilato alivyotaka kumufungua Yesu, yeye akasema tena na watu.


Wewe si yule Mumisri aliyeleta fujo siku hizi na kuwaongoza wauaji elfu ine kwenda naye katika jangwa?”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite