Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 23:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Lakini wote pamoja wakapiga kelele wakisema: “Umwue mutu huyu na utufungulie Baraba!”

Gade chapit la Kopi




Luka 23:18
10 Referans Kwoze  

Makutano walimusikiliza Paulo mpaka aliposema maneno yale. Kisha wakasema kwa nguvu: “Mumuteketeze mutu huyu! Mumwue, kwa maana hastahili kuishi!”


Maana wote walimufuata nyuma wakilalamika: “Auawe!”


Yeye alikuwa Mutakatifu na Mwenye Haki, lakini mukamukana, mukataka Pilato awafungulie mwuaji.


Kila sikukuu ya Pasaka, Pilato alipaswa kuwafungulia watu mufungwa mumoja.]


(Baraba alikuwa amefungwa kwa ajili ya fujo iliyofanyika katika muji na kwa ajili ya kuua watu.)


Lakini Petro alisimama inje karibu na mulango. Yule mwanafunzi mwingine, aliyejulikana na Kuhani Mukubwa, akatoka inje, akasema na mwanamuke aliyelinda mulango, naye akamwachilia Petro kuingia ndani.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite