17 Kila sikukuu ya Pasaka, Pilato alipaswa kuwafungulia watu mufungwa mumoja.]
Kila sikukuu ya Pasaka, liwali alikuwa na desturi ya kuwafungulia watu mufungwa mumoja wanayemutaka.
Basi nitaamuru apigwe fimbo, na kisha nitamufungua.” [
Lakini wote pamoja wakapiga kelele wakisema: “Umwue mutu huyu na utufungulie Baraba!”
Kila sikukuu ya Pasaka, Pilato alizoea kuwafungulia watu mufungwa mumoja, yule waliyemutaka.
Lakini kufuatana na desturi yenu, ninazoea kuwafungulia mufungwa mumoja wakati wa sikukuu ya Pasaka. Basi munataka niwafungulie mufalme wa Wayuda?”