Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 23:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Wakubwa wa makuhani na walimu wa Sheria waliokuwa pale wakatoa mashitaki makubwa sana juu ya Yesu.

Gade chapit la Kopi




Luka 23:10
8 Referans Kwoze  

Tumetambua kwamba mutu huyu ni wa hatari sana, ameanzisha fujo kati ya Wayuda wote katika dunia. Tena yeye ni mukubwa wa chama cha Wanazareti.


Lakini wakazidi kusema kwa nguvu: “Kwa njia ya mafundisho yake anawashawishi watu kufanya uasi katika Yudea yote. Alianzia Galilaya na sasa amefika hapa.”


Wakaanza kumushitaki, wakisema: “Tulimukuta mutu huyu akiwashawishi watu wa taifa letu kufanya uasi. Yeye alikuwa akiwaambia kwamba wasilipe kodi kwa Mufalme wa Roma. Na zaidi ya hii anasema kwamba yeye ndiye Kristo, Mufalme aliyengojewa.”


Yesu alipoondoka katika nyumba ya yule Mufarisayo, walimu wa Sheria na Wafarisayo wakaanza kumushambulia vikali sana na kumwuliza maneno mengi


Na kisha wakubwa wa makuhani na wasimamizi wa watu wakamushitaki,


Akamwuliza Yesu maneno mengi, lakini yeye hakumujibu neno.


Basi Herode na waaskari wake wakamuchekelea Yesu na kumuzarau. Wakamuvalisha nguo zinazokuwa sawa za mufalme na kumurudisha kwa Pilato.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite