Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 22:64 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

64 Walimufunika uso kwa kitambaa na kumwuliza: “Tambua sasa, ni nani aliyekupiga?”

Gade chapit la Kopi




Luka 22:64
4 Referans Kwoze  

Walipojaa na furaha sana ndani ya mioyo yao, wakasema: “Mulete Samusoni atuchekeshe.” Basi wakamutosha Samusoni katika kifungo, wakamuleta naye akawachekesha. Wakamuweka katikati ya nguzo.


Wafilistini wakamukamata, wakamwongoa macho, wakamupeleka Gaza, wakamufunga kwa minyororo ya shaba, na kumulazimisha kufanya kazi ya kusaga unga kule katika kifungo.


wakisema: “Ewe Kristo, tambua ni nani aliyekupiga!”


Wengine katikati yao wakaanza kumutemea Yesu mate, wakamufunika uso na kumupiga ngumi, wakimwambia: “Tambua sasa ni nani aliyekupiga!” Nao waaskari walinzi wakamukamata Yesu na kumupiga makofi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite