60 Lakini Petro akasema: “Sijui mambo unayoyasema.” Wakati ule alipokuwa angali akisema, jogoo akawika.
Lakini Petro akakana tena, na pale pale jogoo akawika.
Yesu akamujibu: “Ninakuambia wewe Petro kwamba leo, mbele jogoo hajawika utakuwa umenikana mara tatu kuwa haunijui.”
Yesu akamujibu: “Kweli ninakuambia kwamba katika usiku huu, mbele jogoo hajawika utakuwa umenikana mara tatu.”
Kisha muda wa karibu saa moja, mutu mwingine akatia mukazo akisema: “Hakika, mutu huyu alikuwa pamoja naye, kwa sababu yeye ni wa Galilaya.”
Bwana akageuka na kumwangalia Petro. Petro akakumbuka maneno yale Bwana aliyomwambia kwamba mbele jogoo hajawika atakuwa amemukana mara tatu.