49 Wale wanafunzi wa Yesu walipoona mambo yatakayotendeka, wakamwuliza: “Bwana, tuwakate kwa panga?”
Wanafunzi wakasema: “Bwana, angalia, tuna panga mbili hapa.” Akajibu: “Basi, inatosha.”
Lakini Yesu akamwuliza: “Yuda, unamutoa Mwana wa Mutu kwa kumubusu?”
Na mumoja wao akamupiga mutumishi wa Kuhani Mukubwa upanga na kumukata sikio la kuume.