48 Lakini Yesu akamwuliza: “Yuda, unamutoa Mwana wa Mutu kwa kumubusu?”
Makaripio ya rafiki yanaonyesha uaminifu, lakini busu la adui ni udanganyifu.
Mwenzangu amemushambulia rafiki yake, amevunja mapatano yake.
Yesu alipokuwa hajamaliza kusema, kundi la watu wakafika, wakiongozwa na Yuda, mumoja wa wanafunzi kumi na wawili. Akamujongelea Yesu kusudi amubusu.
Wale wanafunzi wa Yesu walipoona mambo yatakayotendeka, wakamwuliza: “Bwana, tuwakate kwa panga?”