24 Kulitokea ubishi kati ya wanafunzi wa kujua nani anayekuwa mukubwa kati yao.
Wanafunzi waliingiwa na wazo la kutafuta kujua nani anayekuwa mukubwa kati yao.
Lakini wakanyamaza, kwa sababu walikuwa wakibishana katika njia kwamba nani anayekuwa mukubwa kati yao.
Upendo unavumilia, ni wenye wema; upendo hauna wivu, upendo haujivuni, na hauna kiburi.
Mupendane ninyi kwa ninyi kwa kweli kama vile wandugu, nanyi muheshimiane ninyi kwa ninyi.
Wakati ule wanafunzi wakamufikia Yesu, wakamwuliza: “Ni nani anayekuwa mukubwa katika Ufalme wa mbinguni?”
Basi wakaanza kuulizana wao kwa wao ni nani kati yao atakayefanya jambo lile.