21 “Lakini muangalie: yule anayenitoa anachangia chakula pamoja nami.
Wanasema: “Magonjwa haya yatamwua; hatatoka tena ndani ya kitanda chake!”
Yesu akajibu: “Nitachovya kipande cha mukate. Yule nitakayemupa kipande kile ndiye yeye.” Basi Yesu akachovya kipande cha mukate na kumupa Yuda mwana wa Simoni Iskariota.
Warafiki zangu wakubwa wanachukizwa nami, wale niliokuwa nikiwapenda wamenigeuka.
Ilipokuwa magaribi, Yesu akafika pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.