Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 22:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Naye atawaonyesha chumba kikubwa cha gorofi kilichokwisha kupangwa vizuri. Ni mule mutakapotayarishia karamu.”

Gade chapit la Kopi




Luka 22:12
7 Referans Kwoze  

Walipofika katika muji wakapanda katika chumba cha gorofi walipokuwa wanazoea kukutanana. Na waliokuwa pale ni hawa: Petro, Yoane, Yakobo, Andrea, Filipo, Toma, Bartolomayo, Matayo, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni wa kikundi cha Wazeloti na Yuda mwana wa Yakobo.


Naye hakuhitaji kupewa ushuhuda juu ya mutu yeyote, kwa maana yeye mwenyewe alijua yanayokuwa ndani ya mioyo ya watu.


Na kulikuwa taa nyingi katika chumba cha gorofi tulichokusanyika ndani yake.


Kisha Yesu akamwuliza mara ya tatu: “Simoni mwana wa Yoane, unanipenda?” Basi Petro akauzika kwa sababu Yesu alimwuliza mara ya tatu kama anamupenda. Kwa hiyo akamujibu: “Bwana, unajua yote; unajua kama ninakupenda!” Yesu akamwambia: “Tunza kondoo wangu.


mumwambie mwenye nyumba: ‘Mwalimu anakuuliza kwamba ni wapi kunapokuwa chumba cha kukulia karamu ya Pasaka pamoja na wanafunzi wake.’


Wakaenda na kukuta vitu vyote sawa vile Yesu alivyowaambia. Nao wakatayarisha karamu ya Pasaka.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite