10 Akawajibu: “Mutakapoingia katika muji, mutakutana mutu mumoja anayebeba mutungi wenye maji. Mumufuate mutu yule katika nyumba atakamoingia,
Lakini ninawaambia maneno haya kusudi wakati ule utakapotimia mupate kukumbuka kwamba nimekwisha kuwaambia. “Sikuwaambia ninyi maneno hayo mbele kwa sababu nilikuwa ningali pamoja nanyi.
Kitu kinachoingia ndani ya kinywa cha mutu hakiwezi kumuchafua. Lakini ni kile kinachotoka ndani ya kinywa chake ndicho kinachomuchafua.”
Wakamwuliza: “Ni wapi unapotaka tuende tukitayarishie?”
mumwambie mwenye nyumba: ‘Mwalimu anakuuliza kwamba ni wapi kunapokuwa chumba cha kukulia karamu ya Pasaka pamoja na wanafunzi wake.’