32 “Kweli ninawaambia: hiki kizazi hakitapita mbele ya kutimia kwa mambo yote.
Kweli ninawaambia: hiki kizazi chenu hakitapita mbele ya kutimia kwa mambo haya yote.
Maana kweli ninawaambia: hiki kizazi hakitapita mbele ya kutimia kwa mambo hayo yote.
Kweli ninawaambia: watu wa kizazi hiki watabeba lazima ya mambo hayo yote.
Kweli ninawaambia: wamoja kati ya watu wanaokuwa hapa hawatakufa mbele hawajamwona Mwana wa Mutu akikuja katika Ufalme wake.”
Vilevile wakati mutakapoona mambo hayo niliyotoka kutaja yanatokea, mujue kwamba Ufalme wa Mungu unakaribia.
Mbingu na dunia vitatoweka, lakini maneno yangu hayatabadilika hata kidogo.