31 Vilevile wakati mutakapoona mambo hayo niliyotoka kutaja yanatokea, mujue kwamba Ufalme wa Mungu unakaribia.
Wandugu zangu, musinungunikiane ninyi kwa ninyi kusudi Mungu asiwahukumu. Muangalie, mwamuzi ni karibu, naye amekuwa kwenye mulango!
Kwa maana, kama vile Maandiko haya Matakatifu yanavyosema: “Kunabaki wakati kidogo sana, yule anayepaswa kuja, afike wala hatakawia.
Mwisho wa vitu vyote unakaribia kutimia. Kwa hiyo mukuwe wenye akili na waangalifu, kusudi mukuwe na uwezo wa kuomba.
akisema: “Mugeuke toka zambi zenu, kwa maana Ufalme wa mbinguni umekaribia!”
“Kweli ninawaambia: hiki kizazi hakitapita mbele ya kutimia kwa mambo yote.