Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 21:31 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

31 Vilevile wakati mutakapoona mambo hayo niliyotoka kutaja yanatokea, mujue kwamba Ufalme wa Mungu unakaribia.

Gade chapit la Kopi




Luka 21:31
7 Referans Kwoze  

Wandugu zangu, musinungunikiane ninyi kwa ninyi kusudi Mungu asiwahukumu. Muangalie, mwamuzi ni karibu, naye amekuwa kwenye mulango!


Kwa maana, kama vile Maandiko haya Matakatifu yanavyosema: “Kunabaki wakati kidogo sana, yule anayepaswa kuja, afike wala hatakawia.


Mwisho wa vitu vyote unakaribia kutimia. Kwa hiyo mukuwe wenye akili na waangalifu, kusudi mukuwe na uwezo wa kuomba.


akisema: “Mugeuke toka zambi zenu, kwa maana Ufalme wa mbinguni umekaribia!”


“Kweli ninawaambia: hiki kizazi hakitapita mbele ya kutimia kwa mambo yote.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite