Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 21:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Kwa maana mimi mwenyewe nitawapa masemi na hekima hata waadui zenu hawataweza kuyapinga wala kuyakataa.

Gade chapit la Kopi




Luka 21:15
17 Referans Kwoze  

Kisha Yawe akanyoosha mukono wake, akagusa kinywa changu, akaniambia: Nimetia maneno yangu ndani ya kinywa chako.


Muniombee vilevile, kusudi Mungu anijalie maneno ya kusema. Kwa hiyo nitaweza kuwajulisha watu kwa uhodari siri ya Habari Njema.


kwa sababu Roho Mutakatifu atawafundisha saa ile ile maneno munayopaswa kusema.”


lakini hawakuweza kumushinda kwa sababu ya hekima yake na kwa sababu ya Roho Mutakatifu aliyemwongoza kusema.


Halafu akawafungua akili kusudi wapate kufahamu Maandiko Matakatifu


Kama mumoja kati yenu akikosa kuwa na hekima, aiombe kwa Mungu ambaye atamupatia. Kwa maana Mungu anawapa watu wote bila upendeleo na kwa moyo mwema.


Maana Yawe anawapa watu hekima; katika kinywa chake kunatoka maarifa na ufahamu.


Naye Agripa akamwambia Paulo: “Unazani kwamba kwa wakati kidogo utaweza kunivuta kuwa mukristo?”


Lakini Paulo alipokuwa akihubiri juu ya haki, juu ya kujizuiza na juu ya siku ya hukumu ya Mungu itakayokuja, Feliki akaogopa na kumwambia: “Kwa sasa unaweza kujiendea. Nitakuita tena nitakapopata wakati.”


Wote wakapewa Roho Mutakatifu na kuanza kusema kwa luga mbalimbali kwa kadiri Roho alivyowawezesha kusema.


Siku hiyo, nitawafanya Waisraeli wakuwe na nguvu na kukuwezesha wewe Ezekieli useme kati yao. Nao watapata kujua kwamba mimi ni Yawe.


Mutatolewa hata na wazazi wenu, wandugu zenu, na watu wa jamaa zenu pamoja na warafiki zenu. Nao watawaua wamoja kati yenu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite