Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 21:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Yesu alipoinua macho, akawaona watajiri wakitia sadaka ndani ya sanduku ya sadaka za hekalu.

Gade chapit la Kopi




Luka 21:1
12 Referans Kwoze  

Yesu alisema maneno haya wakati alipokuwa akifundisha katika hekalu, kwenye sanduku za kuwekea matoleo. Hakuna mutu aliyemufunga, kwa sababu wakati wake ulikuwa haujatimia.


Wakubwa wa makuhani wakaokota zile feza na kusema: “Kufuatana na Sheria yetu hairuhusiwi kuweka feza kama hizi ndani ya sanduku ya hekalu kwa sababu feza hizi ni za damu.”


Alitwaa vyombo vyote vya nyumba ya Mungu vikubwa na vidogo na hazina ya nyumba ya Yawe na ya mufalme na wakubwa wake. Alivipeleka vyote mpaka Babeli.


Nikachagua watu hawa kuwa walinzi wa gala: kuhani Selemia, Zadoki mwandishi na Pedaya, Mulawi. Hanani mwana wa Zakuri mujukuu wa Matania akakuwa musaidizi wao. Walikuwa waaminifu na kazi yao ilikuwa kuwagawanyia wandugu zao mahitaji yao.


Tena kama vile Yawe alivyosema, Nebukadneza alitwaa mali yote iliyokuwa ndani ya nyumba ya Yawe, na ndani ya nyumba ya kifalme. Akakatakata vyombo vyote vya zahabu ambavyo Solomono mufalme wa Israeli alitengeneza. Vyombo hivyo vilikuwa ndani ya hekalu la Yawe.


Lakini feza yote, zahabu, vyombo vya shaba na chuma ni vitakatifu kwa Yawe; hivyo vitawekwa katika hazina ya Yawe.”


Akaitwaa hazina yote ya nyumba ya Yawe na ya nyumba ya kifalme. Alitwaa kila kitu; naye alitwaa ngao zote za zahabu Solomono alizozitengeneza.


Kisha, wakauchoma kwa moto muji wa Yeriko na kila kitu kilichokuwa mule isipokuwa feza, zahabu, vyombo vya shaba na vya chuma; hivyo viliwekwa katika hazina ya nyumba ya Yawe.


Makuhani wakakubali wasipokee feza tena kutoka kwa watu. Vilevile hawakukuwa na madaraka ya kutengeneza nyumba ya Yawe.


Wananyanganya mali ya wajane na kuomba maombi marefu kusudi waonekane mbele ya watu. Kwa sababu hii watahukumiwa vikali sana!”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite